CHANGAMOTO YA UZITO MKUBWA
CHANGAMOTO YA UZITO MKUBWA
Watu wengi wanafanya mazoezi
Wanenda Gym
Wanaacha kula baadhi ya vyakula
Wanatumia Diet/Program tofautitofauti lakini
Hawapungui na wengine Wanapungua ila wakiacha wanachofanya Mwili unarudi tena Maradufu
KWANINI/SABABU
Unene unasababishwa na mafuta mengi mwilini...
Mafuta mengi mwilini yanasababishwa na taka mwili/TOXINS kua nyingi mwilini e.t.c .
Taka mwili/TOXINS zinasababishwa na Ulaji/Unywaji mbaya, Kula Unbalanced Diet, Pombe, lifestyle mbaya, mwili kutomeng'enya Chakula vizuri e.t.c
Taka mwili/Toxins zikiwa nyingi mwilini zinashambulia Sensitive internal Organs(Moyo, Maini, Figo e.t.c)
Ili mwili kujilinda unatengeneza mafuta mengi kuzuia Toxins zisifikie Sensitive Internal Organs ndio tatizo la Mwili Kuongezeka linatokea .
![]() |
MADHARA YA KUWA NA UZITO MKUBWA
Ukiwa na uzito mkubwa madhara yafuatayo huweza kujitokeza;
1.Matitizo kwenye figo
2.Uwepo wa michirizi
3.Kupunguza hamu ya tendo la ndoa(Upungufu wa Nguvu za kiume)
4.Kuharibu mfumo mzima wa upumuaji
5.Kuharibu ini
6.Hupelekea uwezekano wa kupata kisukari,tatizo la presha na maumivu ya viungo.
7.Hupelekea changamoto kwenye mfumo wa moyo (Stroke)
8.Uweza kupelekea kupata kansa ya utumbo.
NJIA SAHIHI NA SALAMA YA KUBADILI MUONEKANO WAKO
TUPIGIE / TUMA UJUMBE WHATSAPP +255 742 216 182
AU
GUSA HAPA KUPATA MUONGOZO SAHIHI WA KUPUNGUZA UZITO




No comments